BONGO MUVI WAMSUSIA WEMA MSIBA
BABU SEYA, PAPII KOCHA VICHEKO VYAANZA

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ pamoja na ndugu zao, Jumatano iliyopita walitoka kwa vicheko katika Mahakama ya Rufaa Tanzania baada ya kuridhishwa na utetezi uliotolewa na…

ANAYEDAIWA KINARA WIZI WA ‘POWER WINDOW’ ANASWA

MKAZI mmoja wa Sinza Lion jijini Dar, Link Mbaga (25) Jumanne iliyopita alinaswa maeneo ya Sinza Afrikasana na kuchezea kichapo kutoka kwa watu wenye hasira akidaiwa kutaka kuiba vifaa vya kwenye gari aina ya Toyota Harrier, Ijumaa limeinyaka.…

UFOO AAPA KIAPO CHA SIRI

SIKU chache baada ya Mtangazaji wa Runinga ya ITV, Ufoo Saro kuruhusiwa hospitalini alipokuwa amelazwa baada ya kudaiwa kupigwa risasi na mzazi mwenzake, marehemu Anther Mushi, ameibuka na kula kiapo cha siri.…

BABA: MARUFUKU MAMA KANUMBA KUTUMIA JINA LANGU
NUSU UTUPU YA LINAH YACHANGANYA MIDUME!

Mavazi ya nusu utupu ambayo msanii Esterlina Sanga ‘Linah’ hupenda kuyavaa hasa kwenye matamasha yamekuwa yakiwadatisha wanaume na wengine kuomba kupiga naye picha kwa lengo la ‘kujipoza’ kama ilivyotokea kwenye Fiesta, Dar hivi karibuni.…

NAMNA YA KUMVUTIA MWANAUME ALIYEUTEKA MOYO WAKO!-3


KUBEZWA, KUDHARAULIWA NA KUCHEKWA NI DARAJA LA MAFANIKIO-2

Kwa simu na meseji nilizopokea, nimegundua wengi wanashindwa kufanikiwa kwa kukata tamaa kutokana na kuchekwa na kudharauliwa pale wanapoanza safari ya kuelekea kwenye…

No comments:
Post a Comment