Wednesday, September 24, 2014

Mwanamziki Chipukizi Tel Omaino arecord wimbo wake wa kwanza wa video unaoitwa BADO NIPO NAYE


Mwana Mziki chipukizi Tel Omaino mkazi wa Tunduru - Songea, Amerecord wimbo wake wa kwanza wa video unaoenda kwa jina la "BADO NIPO NAYE" amemshirikisha Mwanamziki Kauye wimbo huo unatarajiwa kutoka hivi karibu. 

Alipoongea na chanzo chetu alijaribu kueleza historia yake kwa ufupi, Tel Omaino amesoma secondary Lutengano iliyopo jijini Mbeya na kwasasa ni mwanafunzi wa chuo Mtwara. alianza kufanya muziki tangu akiwa secondary, hii ndio nyimbo yake ya kwanza  kuifanyia video. Hata hivyo hakua tayari kutaja umri wake.

Video hiyo Imefanyika katika Studio za 29 Records na Producer Suly, na Video director ni Timmy San jijini Dar es Salaam. Hivyo anawaomba wadau wa mziki kumpa support kubwa mala tu atakapo zindua wimbo wake huo wa kwanza.

 Mwana Musiki chipukizi Tel Omaino katika Poz


 Baadhi ya Vipande katika Video hiyo


  Tel Omaino (Kushoto) na Kauye (Kulia) katika baadhi ya kipande katika video hiyo

  Tel Omaino (Kushoto) na Kauye (Kulia)

 Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

Tel Omaino na Kauye wakipeana salam katika video hiyo

 Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

 Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

 Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande katika Video 

  Baadhi ya Vipande

  Kauye aliyeshirikishwa katika video hii

  Baadhi ya Vipande 

  Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande katika Video hiyo

  Baadhi ya Vipande


Kauye akiimba katika kipande chake