Monday, September 3, 2012

Haya sasa Siasa imekua gumzo kila kona. Nani alaumiwe kwa hili jamani? Niserikali iliyoko madarakani au ni nani? Nashindwa kuelewa ndugu zanguni tumempotezea mwana habari wetu kisa Siasa. Jamani kwanini hatu badiliki? Hebu ona ameshabadili jina tunamwita Marehemu Daudi Mwangosi tutakukumbuka sana ndugu yetu. Rest in Peace Daudi
Nampenda sana twiga nafurahia kuwa na nchi yenye wanyama wazuri kama huyu jamani Twiga ni mnyama anaye vutia mwenye sifa za kila aina ana mwendo wa maringo jamani Twiga anavutia. Najivunia sana kuwa Mtanzania naipenda sana nchi yangu.
Maisha ni mazuri kama ukijikubali mwenyewe, pia maisha humwendea mtu vibaya pale ambapo yeye huya kosea. Maisha ni kujipanga usisubili kupangiwa. Ona watu tunafurahia maisha na tunasahau shida zote za hapo nyuma aah maisha ni raha jamani. Karibuni tufurahi sote.

Friday, August 17, 2012

Life is like a game if you play badly you must trouble you, but you must overcome to move properly. Life is a trap that we have in store for us humans, we should live without care, we should love everyone also we have to bear. True life is a paradox, but even we can overcome. Good life and are difficult in our hands.

We will fight to find what we have intended. We should not be discouraged. Life is everywhere

Thursday, August 16, 2012