Tuesday, May 20, 2014

Hatimaye Msanii Adam Philip azikwa leo katika viwanja vya Kinondoni.


Mwingizaji huyu mwenye umri wa miaka 38 alifariki ghafla kwenye kambi ya kurekodi filamu na wasanii wenzake iliyopo katika Nyumba ya Kulala Wageni ya Silvarado iliyopo Sinza ya Kwaremmy, Dar.Kifo chake kilitokea  akiwa njiani kukimbizwa kwenye Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge jijini Dar es Salaam baada ya kuugua. 

 Marehemu Adamu Enzi za uhai wake


Chanzo cha kifo chake inasemekana ni vidonda vya tumbo ambao msanii wa Bongo Fleva, Aboubakar Katwila ‘Q-Chillah’ alisema muda mchache kabla ya kufikwa na mauti,  Kuambiana alimlalamikia maumivu ya tumbo ambapo Ijumaa iliyopita alisema hali yake si nzuri kwani alikuwa akiendesha damu tupu.
Gari lililo beba mwili wa Marehemu kuelekea nyumbani kwake Bunju

Waombolezaji wakilia kwa majonzi


 Mwili wa Marehemu ukitolewa kuajili ya kupelekwa Leaders kuajili ya kuaga

 Baadhi ya wasanii wakiomboleza


Wasanii wameubeba mwili wa Marehe

 Wakijiandaa kuupokea mwili wa marehem

Mwili ukitolewa kwenye gari



Msanii Steve akilia kwa kuondokewa na mpendwa wao


Hivyo ndivyo Adam Philip alivyo tutoka. Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaindi. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahara pema Amina.





No comments:

Post a Comment