Friday, June 6, 2014

Morogoro: Gari aina ya Prado laacha njia na kuvamia bank ya CRDB jana mapema

Gari aina ya Prado limeacha njia na kupamia bank ya CRDB Mkoani Morogoro. tukio hilo lilitokea mapema sana jana. Ajali hiyo imetokea wakati mmoja wa wafanyakazi wa hapo (Jane Maganga) akipaki gari yake, gari ilipitiliza na kuingia ndani. Hakuna mtu aliye umia katika ajali hiyo.

 Picha ya gari lililo pamia bank


Sehemu iliyogongwa

No comments:

Post a Comment