Monday, September 3, 2012

Haya sasa Siasa imekua gumzo kila kona. Nani alaumiwe kwa hili jamani? Niserikali iliyoko madarakani au ni nani? Nashindwa kuelewa ndugu zanguni tumempotezea mwana habari wetu kisa Siasa. Jamani kwanini hatu badiliki? Hebu ona ameshabadili jina tunamwita Marehemu Daudi Mwangosi tutakukumbuka sana ndugu yetu. Rest in Peace Daudi

No comments:

Post a Comment