Monday, September 3, 2012

Nampenda sana twiga nafurahia kuwa na nchi yenye wanyama wazuri kama huyu jamani Twiga ni mnyama anaye vutia mwenye sifa za kila aina ana mwendo wa maringo jamani Twiga anavutia. Najivunia sana kuwa Mtanzania naipenda sana nchi yangu.

No comments:

Post a Comment