Monday, September 3, 2012

Maisha ni mazuri kama ukijikubali mwenyewe, pia maisha humwendea mtu vibaya pale ambapo yeye huya kosea. Maisha ni kujipanga usisubili kupangiwa. Ona watu tunafurahia maisha na tunasahau shida zote za hapo nyuma aah maisha ni raha jamani. Karibuni tufurahi sote.

2 comments: