Thursday, January 1, 2015

Ahsante sana wadau wangu mnao shiriki nami kikamilifu kusoma na kutoa maoni na mapendekezo katika Blog yangu. Ninawatakia mafanikio katika mwaka huu 2015 Kipekee ......

Ninamshukuru sana mwenyezi Mungu kwa ulizi wake Mkuu kwangu amenilinda mwaka Mzima uliopita 2014 mpaka sasa 2015. Ahsante sana wadau wangu mnao shiriki nami kikamilifu kusoma na kutoa maoni na mapendekezo katika Blog yangu. Ninajua kazi hii ni ngumu sana na ninakua nikipata wakati mgumu kutokana na ugumu wa majukumu niliyonayo. Inanipelekea wakati kutowapa taarifa mala kwa mala. Ninatamani kuwa nanyi kila siku lakini kuna wakati nazidiwa ila muamini kitu kimoja kuwa ninawapenda sana wadau wangu. Kipekee pia napenda kuishukuru sana Familia yangu kwa kunipa moyo na kuniombea katika magumu yote ninayo yapitia. Leo ninapenda kuwapa zawadi ndogo picha zangu ili mpate fahari ya macho. Pia ninawaomba msisite kutoa maoni kwani maoni yenu ndo yananijenga kurekebisha pale ninapo kosea.

Happy new year 2015 ndugu zangu. Nawapenda saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
Utulivu kidogo

 Mapumziko kidogo


Na my dada

 Baba na watoto.

 Na rafiki yangu kipenzi

Nikiwa na My baba

 Ki kwetu kwetu

Dadaz na Mtoto

Nikiwa na dadaz

Hapa ni Dodoma na Bibi na Babu.
 
Burudani Dar es salaam

Mapumziko Mbeya moja




Weekend 


 Ofisi za watu

 Ibadani J2


 Nawapenda sana nina waahidi kuwapa habari na taarifa moto moto katika mwaka huu mpya 2015.

No comments:

Post a Comment