Thursday, October 31, 2013

Watu 2 wakutwa na kiganja cha mkono wa Binadam jijini Mwanza

Photo: Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100.

Washukiwa walikamatwa karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza, wakawapekulia wakakutwa mteja ana 100 million na mganga ana kiganja ambacho bado kibichi kinatoa damu, kina tunguri pia na nywele za binadamu

Taarifa zaidi => http://bit.ly/HsvvgDi


Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukutwa na kiganja cha mtu akitaka kukiuza kwa Sh Milioni 100. Washitakiwa hao walikamatwa karibu na uwanja wa ndege jijini humo. Walipopekuliwa mnunuaji alikutwa na sh Milioni 100 wakati mganga mmoja aliyedaiwa kuwa ni muuzaji wa kiganja hicho alikutwa na kiganja ambacho bado kibichi kinatoa damu na tunguli pamoja na nywele za binadamu.

Taarifa na mitandao

No comments:

Post a Comment