Saturday, November 9, 2013

Hapo jana. Ajali mbaya Sinza iliyo usisha Bodaboda


AJALI MBAYA SINZA


Watu wakishangaa ajali hiyo.
               Wasamaria wema wakijitolea kumpakiza kwenye gari kwa ajili ya kumpeleka hospitali.

Dereva wa bodaboda akiitetea roho yake mara baada ya kugongwa na gari maeneo ya Sinza Afrikasana.

Watu wakishangaa ajali hiyo.
               Wasamaria wema wakijitolea kumpakiza kwenye gari kwa ajili ya kumpeleka hospitali.
Dereva wa bodaboda akiitetea roho yake mara baada ya kugongwa na gari maeneo ya Sinza Afrikasana.

No comments:

Post a Comment