Saturday, November 9, 2013

KIPA wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’ amesema kuwa ataendelea kujituma ili kupata nafasi katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo, kwa kuwa anaamini huu ndiyo muda wake wa kujituma.


Dida: Huu ndiyo wakati wangu Yanga

Deogratius Munishi ‘Dida’.



Dida ambaye ametua Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Azam amefanikiwa kudaka mechi tatu za mwisho za Yanga bila kuruhusu bao kabla ya mechi za jana huku akionyesha kiwango kizuri.
“Kila mtu ana muda wake wa kuonekana kwa hiyo nadhani zamu yangu imefika sasa ya kuonekana Yanga lakini ikifika wakati wa mtu mwingine na mimi pia nitakaa benchi, anaweza (Ally Mustapha) Barthez akarudi golini au akaja mwingine akatupiku,” alisema Dida.
Dida…
Deogratius Munishi ‘Dida’.

KIPA wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’ amesema kuwa ataendelea kujituma ili kupata nafasi katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo, kwa kuwa anaamini huu ndiyo muda wake wa kujituma.
Dida ambaye ametua Yanga mwanzoni mwa msimu huu akitokea Azam amefanikiwa kudaka mechi tatu za mwisho za Yanga bila kuruhusu bao kabla ya mechi za jana huku akionyesha kiwango kizuri.
“Kila mtu ana muda wake wa kuonekana kwa hiyo nadhani zamu yangu imefika sasa ya kuonekana Yanga lakini ikifika wakati wa mtu mwingine na mimi pia nitakaa benchi, anaweza (Ally Mustapha) Barthez akarudi golini au akaja mwingine akatupiku,” alisema Dida.
Dida alikuwa chaguo la pili kikosini hapo, lakini mara baada ya mechi ya Simba iliyomalizika kwa sare ya mabao 3-3, Barthez aliyekuwa chaguo la kwanza alianza kuwekwa benchi.

No comments:

Post a Comment