Saturday, November 9, 2013

WANAFUNZI MSIKUBALI KUFELI ILA MKIFELI PIA SI TATIZO!


Posted by MPEKUZI MAYNESS on November 8, 2013 at 9:30am 0 Comments 0 Likes
AWALI ya yote ningependa kumshukuru Mungu kwa mengi mema ambayo amekuwa akinitendea katika maisha yangu ya kila siku. Kikubwa zaidi ya vyote nimshukuru kwa kunijaalia uhai, afya njema na nguvu za kutosha kiasi cha kunifanya niweze kutimiza majukumu yangu ya kila siku kama kawaida. Ndugu zangu, wiki hii imeanza vibaya sana kwangu.
Hiyo imetokana na ile taarifa ya yule kijana wa sekondari ya Sabasaba mkoani Iringa ambaye amekutwa amejinyonga kwa madai kuwa alihisi atafeli mtihani wa kidato cha nne unaoendelea nchini.
Kwa mujibu wa ujumbe aliouacha, kijana huyo amesema amekuwa akirudia kufanya mitihani kila wakati lakini anafeli na

kusababisha asifikie malengo yake. Akaenda mbele zaidi na kusema kuwa, anajua wapo watu watamshangaa lakini aliona kujinyonga ndiyo uamuzi…
Soma Zaidi....


No comments:

Post a Comment